MADEBE LIDAI KACHAFULIWA TENA


 Baada ya vilio vya makamasi na kudhalilishana mitandaoni huku kila mmoja akiapa kutokumrudia mwenzake hata kama wangebaki wawili pekee duniani. Hatimae Chanuo na mwenzie Madebe wamerudiana na kuwachamba Wabongo waache kuingilia mambo ya watu.


BONYEZA HAPA FULL VIDEO USIKIE 

Comments

Popular Posts